|
|
|
Jina la Bandeko
Katika lugha ya kilingala, “Bandeko”
inamaanisha “ndugu”. Lingala ni lugha inayozungumzwa katika
nchi ya Congo. Hivyo basi, kama tulivyoandika mwanzoni mwa kijitabu chetu
cha nyimbo, inatakiwa kusizitiza daima kuwa na moyo wa undugu wakati
wowote katika maisha yetu.
|
|