home

 


Mawasiliano ya marafiki:


Afrika Leo: Ni kikundi kilichoanzishwa na Bwana Adriano Zanini. Kuanzia mwaka 1978, chama cha Africa Oggi kimekuwa kikiandaa safari na mipango ya kazi za kujitolea kwa ajili ya misioni za Afrika na Amerika ya Kusini. Katika mipango yote hii wamekuwa wanashirikiana na wamisionari mapadri na masista. Zoezi hili la kushikamana na misioni limewasaidia sana wanachama wa Bandeko kufahamu mazingira na hali ya maisha ya nchi za misioni, mila na desturi zao, nakadhalika.
Lengo la Bandeko ni “Kuwa wazi na kujitolea kwa ajili ya wengine”

Mradi wa Kalicero: Ni kikundi cha watu wenye lengo la kuwajibika katika kusaidia nchi zinazoendelea, na pia kukuza mawasiliano ya vyombo vya habari (magazeti, majalida, vitabu, ...) kwa lengo la kusaidia kutoa hali halisi ya nchi hizi. Kwa kweli shughuli kubwa ni kuwatayarisha wataalamu wananchi katika nyanja za elimu ya afya na majaribio/mazoezi katika kituo che utapiamlo che Kalicero. Zaidi ya hayo, inatoa huduma za afya katika kituo cha afya cha “Muzeyi Health Center” (Kituo cha afya cha Muzeyi).

 

 

 

 

 

Mappa del sito