|
Lengo
Kuimba katika lugha ya kigeni ni kama chombo
cha kuishi maisha tofauti ya kiroho, kushirikisha watu zaidi wakati wa
ibada, na kutoka ushuhuda wetu kwa ajili ya ulimwengu wa haki na mshikamano.
Kwa kweli sisi tunaamini kuwa kuimba kunatuweka
pamoja. Kwa njia ya umoja wetu tunaweza kutoa ushuhuda wa imani ya dini
yetu, na pia kutoa ushuhuda wa thamana ya haki za kibinadamu ambazo zinatuunganisha.
Kwa hiyo basi, tunapojitoa na kuunganika
katika raha na ubinadamu wa hawa wenzetu wanaoishi nchi za mbali; na vilevile
tunapokuwa na mang’amuzi ya kumheshimu kila mtu, tumeshauriwa kuwa
wanyenyekevu, tuwe vyombo vya kuleta ile raha na uhai unapatikana katika
sherehe za liturgia mbalimbai.
|