|
|
|
Shukrani
Awali ya yote tunapenda kuwashukuru wale
wote (ambao, kwa bahati mbaya hatufahamiani) waliotunga nyimbo hizi,
pia shukrani zetu ziziafikie jumuiya zote ambazo kwazo tumeweza kupata
nyimbo hizi.
halafu tunawashukuru wale wote walioshiriki,
kwa mchango wao wa hali na mali, katika kuendeleza na kukuza kwaya yetu,
shukrani zetu pia ziwafikie wale wote waliotualika na wale waliofurahia
kutusikiliza daima.
Asanteni.
Muhimu: Shukrani za dhati ziwaendee Mhashamu Askofu Elia Mandelli na baba
Luigi Badi wa Parokia ya Lambrate ambaye kwa ukarimu wake, ametukaribisha
katika Parokia yake kufanya mazoezi ya nyimbo.
Shukrani ya
mtandao.
|
|